Thursday, July 29, 2010

CHAMELEONE AMPA KICHAPO MDOGO WAKE MAURICE KIRYA" VAMPINO "......

Watu wengi wamezungumza..juu ya kitendo cha mwanamuziki jose chameleone kumpiga msani mwenzake tokea nchini uganda aitwae VAMPINO .hayo yote yalifanyika siku ya j5 nje ya club silk ...kiwanja maarufu nchini humo cha muziki.inasemekana kuwa chanzo ni kwaNINI Vampino hamkubali jama..kwa hiyo ye chameleone anaona  kama jama anamdharau.wengi wanasema kuwa huyu jama (chameleone) tabia yake sio nzuri..tangu apate fursa ya kuonyesha sanaa yake kwenye jukwa wa la kombe la dunia..
Vampino alilazwa hospitali kansanga na watu wake wamefungua kesi dhidhi ya jose chameleone katika kituo cha police  jinja road...

badhi ya watu tokea nchini humo wamesema haya kupitia mtandao wa urafiki facebook..

kaka yake Vampino bwana Maurice kirya ambae pia ni msani kasema haya

"

I was blind but now i see, with blows to his face, he wondered why he
was attacked,and the answer was,because he did not worship the Dr.
Joseph chameleon! i hope my brother vamposs recovers from the injuries
and dis figured face, i love his music, but chameleon has attacked many,
and is protected by all of us. We have ..."


mtu mwengine ambae ni mtangazaji wa kituo cha redio hot 100 jijini kamapala kaesema haya
bwana 
"

Banange Chameleon...wateva they say u did to My boy Vampos was such a cheap shot. I love yo music bt smthangz take the love away."

No comments:

Post a Comment