Wednesday, July 7, 2010

GEORGE MICHAEL ALIPATA AJALI TENA SIKU YA JUMA PILI...

msani huyo mwenye umri wa miaka 47,alikamatwa majira ya kuamkia siku ya juma pili saa tisa na nusu (3:35 am) polisi wa mji wa london walipigiwa simu na watu wanao kaa eneo hilo.baada kupokea simu kwa faster polisi wali ibuka eneo hilo la ajali papo kwa hapo. japo kuwa jama alipata ajali,alishtakiwa na kwa kosa la kuendesha gari nchini  akiwa anasadikika kuwa kalewa.

msani huyo bwana GEORGE, miaka 3 ya nyuma nazungumzia mwaka wa 2007 alikatazwa kuedesha gari kwa miaka 2,mara baada ya kugonga maduka ya kusafishia picha yaliopo karibu na nyumbani kwake maeneo la leafy kaskazini mwa mji wa London.

jama katoka kwa kulipa bondi ya kiasi cha fedha ambacho hakija wekwa wazi,lakini case hiyo itaendelea mwezi wa nane mwaka huu...

No comments:

Post a Comment