Thursday, July 15, 2010

MKALI WA CAKE ISIO OZA (ALBINO FLANI )NA MSANI WA KIKE PIPI WAMETUPIKIA KITU KIKALI

Mchizi huyu anae kwenda kwa jina la kimziki kama Albino fulani yupo unyamwezini (marekani) ambapo yupo based ki maisha na kazi.hili goma jipya waliotupikia na mwana dada PIPI mara hii linakwenda kwa jina USIHOFU .. la  Fulani yuko mbioni kutoa album ambayo mapato yake ataelekezea katika kusaidia Maalbino wenzake kama mchango na chachu ya kuamsha albino wenzake kuwa wasikate tamaa na maisha kwani nafasi bado wanayo kama alivyowaambia kwenye track yake iliyopita ambayo alimshirikisha MwanaFa, Belle9, & Sugu.


Hivi karibuni Albino Fulani alitoa misaada ya lotions za kinga za jua kwa maalbino wenzake Tanzania kupitia shirika lisilo la kiserikari la Afrobino.org katika jitihada zake za kupambana na Cancer ya ngozi.

hapokweli ndio unaona bidi ya mchiz.jama  yupo serious na anthamini kweli ndugu zake hawa.pamoja sana kaka umoja ni nguvu

No comments:

Post a Comment