Sunday, July 25, 2010

HII KALI..TUNAFAHAMISHWA KUWA JIGGA ANASAFIRI NA TOILET PAPER YAKE SPECIAL KILA SEHEMU AENDA KO

Mwana muziki toka kasabia Tom Meighan, ameeleza  kwanini hajahisi kama ye ni maarufu,miongoni ni kuwa ,hajapata toilet paper zake na choo kama jayz.jama vile vile anasema akibahatika kuwa na hivyo vitu hapo basi naye atajijua kama ni nyota na ni maarufu..


 .inasemekana kuwa Hov kila anapo safiri ku perform kwenye festival mbali mbali uwa ana burungutu la toilet paper na private toilet. HOV anasema kwenye mistari ya kinyamwezi kuwa ana shida 99..ila kumwabukiza wadudu wako sio moja ya shida hizo...


"

"I Got 99 Problems & Your Germs Aint One: Jay-Z Takes Private Toilet With Him Everywhere"

No comments:

Post a Comment