Friday, July 16, 2010

MR.BLUE AULIZA SWALI ,DIVA NDIO NANI..?

Siku za nyuma kidogo kwa wewe ambae ulikua haufahamu ni kwamba kuna mwana dada anaitwa Diva .habari zilianza kuvuma kuwa Blue anamsumbua .sasa kwa upande wake .Blue anasema mimi simjuhi huyo DIVA (mtangazaji wa kituo kimoja cha redio jijini dar-es-salaam)lakini kitu kinacho nishangaza ni kwamba, naskia habari zina vuma kati ka vyombo vya habari mbali mbali hapa nchini kuwa mimi BLUE ninamsumbua huyo DIVA .kitu cha kwanza hatujawahi kukutana mi na yeye. sasa watu wanavyoandika hizo habari sijuhi wanazitoa wapi.
Ni hayo tu ! kutoka kwa Blue a.k.a KABISA...ila kwa misemo ya siku hizi ni kwamba itafahamika tu !!
.

No comments:

Post a Comment