Tuesday, July 27, 2010

LAURYN HILL NDANI YA AFRIKA MASHARIKI

Msani wa kitambo alie tikisa sana ulimwengu wa mziki miaka ya tisini..Lauryn Hill alikua nchini Rwanda siku ya juma pili ambapo alitupi bongela show Katika tamasha la FESPAD..kama ilivyo kawaida walikwepo wakali wengine kama jose chameleone toka nchini uganda na pili pili toka nchini Kenya NA WENGINEO KIBAO..

Kilicho shangaza zaidi ni kwamba ame achia ngoma yake mpya(REPERCUSSIONS) nchini humo (KIGALI)hata kabla ya kuiachia marekani anapotokea mwana dada huyo..na pia miss Hill ata tupi performance kwenye tamasha lingine nchini marekani linalojulikana kama ROCK BELLS

No comments:

Post a Comment