Tuesday, July 27, 2010

MAPENZI NDANI YA BIG BROTHER TAYARI

Kulikuwa na habari kuwa Sheila kutoka nchini Kenya na Hanningtone kutoka uganda walikuwa na kiji issue flani cha mapenzi kilicho kuwa kinaendelea..Kwa kuweka mambo sawa Sheila alikata kabisa swagga hizi za kuwa ana feel lolote kwa chali huyo kutoka uganda na hapo baadae aliskika jama Hanningtone akiwa anamlalamikia kwanini alimvunja moyo...duh ! hii kali..na kwa habari nyingine ,siku ya jana (j3)Tatiana alitolewa (kwa maana ya kwamba she was voted out like eviction) kwenye jumba la B.B.A...lakini..akarudishwa tena..

No comments:

Post a Comment