Monday, May 16, 2011

WATOTO WA SAFARI KWA VITUKOOO

wakali wa midmorning na grooving
mj,mkali bala
 huyooooooo
 hapa vipi jamani iko poa
 mara 1 kwa mwaka si mbaya jamani,hapa siachi kituuuu!!!!!!!
Mpe nyonyoooooooo mwanao blazaa

MZUKA WA MAKONDE BEACH CLUB


asikuambie mtu,sisi week end ina anza alhamisi kwa usiku wa taarabu pale makonde beach,ijumaa kama kawa fresh friday na kazi ipo j moss yani ni hatari sanaaaaaaaaaaaaaa

MAMBOZ WADAU WETU?

nianze kwa kuwapa pole,jamani nilibanwa na majukumu ya kiofisi na family pia,
ila tuku pamoja sana