Tuesday, September 28, 2010

PFUNK NA AFANDE WAYAMALIZA MATATA YAO...

Wawili hawa walizungumza na kipindi cha HITS VIBE ZONE ..na wakasema kua hakukua na beef kama vyombo vingi vya habari vilikua vimesema hapo awali,espokua kulikua na kuto elewana katika pande zote mbili lakini ...lakini kwa sasa kila kitu kipo sawa coz wawili hawa wapo kama ndugu.pfunk anajianda na ziara yake ya nchi mbali mbali barani ulaya na amerika kati ka mda mfupi ujao..na pia pfunk kasema kua sasaivi mambo yamebadilika kidogo kutokana na mda wa kuka na kufikiria kabla ya kuachia kazi.na vile vile umri wake pia umemfanya awe na mtazamo tofauti na zamani...kwa upande wa Afande.amesema kuwa anamtambulisha  msani wake bwana Ballet wallet..ambaye amefanya naye kazi ya SUZI..