Thursday, March 31, 2011

MBW FRONT PAGE

kama inavyoonekana katika front page hivyo ndivyo ambavyo BMW CONNECTION inavyoonekana kwenye bango lake la mbele ukifika ofisini kwake na bidhaa ambazo unaweza kuzipata kwa uchache kama zinavyoonekana japo ni zaidi ya vitu vilivyohorodheshwa.karibuni sana

Tuesday, March 29, 2011

'''BREAKING NEWZ'''SHOW ZA WAKALI ENT. KUANZA MKESHA WA PASAKA KWA KISHINDO

WALE WAKONGWE WA ENTERTAINMENT
''WAKALI ENTERTAINMENT''           ''SHANGWE ZA MKESHA WA PASAKA''
WAMERUDI KWA KISHINDO KIKUBWA SIKU YA MKESHA  WA PASAKA

MCHARUKO WA WEEK END HOME KWA WAKALI

week end hii ilikua nzuri sana kwangu na washkaji walopata nafasi ya kuja kunitembelea home kwangu ,



tulipika misosi ya maana na gambe la kutosha sana mpaka magari yakazima ,nashukuru tulifurahin sana na wageni wangu wali enjoy vyakutosha ila niliumia pacha wangu hakuwepo,pole brother (the east)

Thursday, March 24, 2011

BMW CONNECTION WANAJISHUGHULISHA NA NINI ZAIDI?

BMW CONNECTION ikishirikiana na kampuni mama ya WAKALI ENTERTAINMENT Iinasimamia shughuli zote za mambo ya burudani za muziki ikiwemo na:-
  *kutengeneza matangazo ya show(Flies na Posters)
   *kutengeneza matangazo ya sauti(JINGLES)
   *Kutengeneza Burners,Bangles
   *Kuprint T shirts
   *shughuli zote za graphics nk.
   *kukodisha musiki na ma DJZ

BMW CONNECTION Mtwara Town

BMW CONNECTION Mtwara Town
Ni kampuni iliyofunguliwa hivi karibuni mkoani Mtwara,kampuni hiyo inajihusisha na shughuli mbalimbali za kijamii na uchumi ikiwemo na:-
   -kusambaza vifaa vya maofisini(kwa order maalum)
        *printer
          *rim paper
            *pen
              *files
                 *
   -kuuza vifaa vya computer na computer zake              
              *Flash Disk
                 *Card Reader
                    *Hard Disk
                      *RAM
                        *Power cables
                           *MotherBord
                         
    -kuuza vifaa vya simu na simu zake
              *Housing
                  *Memory Card    -kutengeneza computer(computer maintainance)
                  *Betteries
                     *Charger

Wednesday, March 23, 2011

HAPPY B.DAY CAREN MCHOX

tarehe 24 ya kila mwaka huwa ni siku muhimu sana kwangu,huwa ni tarehe ambayo mtoto wangu kipenzi caren mohammedy mchokoleka A.K.A caren mchox tanzania alizaliwa tarehe km hii,


nampenda sana mtoto wangu na nitahakikisha anaishi vizuri kwa kumuombea kwa mungu ampe maisha mazuri kokote atakapokua,nami pia namjengea maisha mwanangu,chochote ninachofanya kizuri ni kwa ajili ya caren,nasema kizuri kwa sababu hakuna kibaya nachofanya kwa ajili yake,

Monday, March 21, 2011

BMW SHOP.

kwa mahitaji ya vifaa vya computer na computer zake,cds na dvds empty,flash,memory card,cds wallet,vifaa vya simu,betr,charger,housing,kuweka nyimbo kwenye simu na cd burning. pia tunatengeneza ring tone za simu kwa miito unayohitaji,tunatengeneza posters na matangazo ya redio,tunakodisha muziki,djs,mc.
0718344400/0654610561

BMW CONNECTION MTWARA TOWN.

BMW ni moja kati ya makampuni ya kijanja yanayo shughulisha na mambo yote ya entertainment pande za kusini,
chochote kinachohusu entertainment kwetu kinawezekana njoo upate maujanja zaidi,kampuni hii imezaliwa na mama anayeitwa wakali entertainment.
kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu maeneo ya bima pembezoni mwa uwanja wa nangwanda  mkabala na busati lodge au simu namba 0718344400/0654610561

MCHOX a.k.a TANZANIA AJA NA BONGE LA NGOMA.

Napenda kuwajulisha wadau wangu na wapenzi wote wa mchox tz kuwa nadondosha mzigo wa maana sana na nitaimba ijumaa siku ya show ya wanaume family pale litingi.

Monday, March 14, 2011

MZIGO WA BURUDANI UNAKUJA

kundi la muziki la wanaume family wakiongozwa na chege pamoja na temba,watafanya show ijumaa ya tarehe 25 mwezi huu pale litingi,kingilio sh 7000/=kwa kichwa,baada ya show disco kali chini ya madj toka safari radio fm.

Saturday, March 12, 2011

MICHANO MWANZO MWISHO

usiku wa ijumaa pande za blantyre kulikua na burudani toka kwa wana hip hop toka vyuo vyote vya mtwara,
michano ya hapo kwa hapo ifanyika na mshindi alipatikana,ilikua burudani ya aina yake
jimmy on line na rama toka chuo cha sauti ndiyo waandaaji wa mpango mzima.
big up sana wazeiyaaaaaaaaaaaaaa

TOP C LIVE LITINGI

msanii anayetamba na wimbo wake unaotamba hivi sasa,sababu ya ulofa ,leo usiku atapiga show ndani ya litingi .
pia nilipata tyme ya kufanya nae enterview mjengoni kwetu safari radio katika kipindi cha fresh friday.

Friday, March 11, 2011

MISS MTWARA MJINI YAJA TOKA SAFARI RADIO

kwa wale wadada wenye sifa za kushiriki mashindano ya kumsaka mrimbwende wa mtwara mjini,wakati ndy huu,fomu za kushiriki zinapatikana bure safari radio shangani mjengoni kwetu,au ukikutana na mchox unaweza muuliza chochote kuhusi hili,

hapa tulikua katika maandalizi ya mwanzo kucheki jukwaa letu km liko poa kwa ajili ya mazoezi ya washiriki,dj fax akiwa anajaribu kupiga catwalk za hatari

Thursday, March 10, 2011

JIMMY ON LINE AJA NA SINGLE MPYA....

ilikua usiku wa kuamkia ijumaa katika studio za mchox,washkaji walikua wanapiga mavocal ya uhakika kuhakikisha mzigo uko poa

WADAU WAKUBWA WA WAKALI

jana nilitembelea ofsini kwa washkaji zangu ambao ni moja kati ya wakali entertainment nikawakuta wako busy sana,hongereni sana kwa ujenzi wa taifa

Monday, March 7, 2011

tufanye nini ili tuwasaidie hawa

licha ya serikali kusema elimu bure na kuhimiza watoto wadogo wenye umri wa kuanzia miaka 6 mpaka saba kuanza darasa la kwanza lakini hali bado si shwari baadhi ya maeneo,nilikutana na kijana akiwa na sare za shule akiwa mitaani anaomba,