Monday, March 14, 2011

MZIGO WA BURUDANI UNAKUJA

kundi la muziki la wanaume family wakiongozwa na chege pamoja na temba,watafanya show ijumaa ya tarehe 25 mwezi huu pale litingi,kingilio sh 7000/=kwa kichwa,baada ya show disco kali chini ya madj toka safari radio fm.

No comments:

Post a Comment