Monday, March 21, 2011

MCHOX a.k.a TANZANIA AJA NA BONGE LA NGOMA.

Napenda kuwajulisha wadau wangu na wapenzi wote wa mchox tz kuwa nadondosha mzigo wa maana sana na nitaimba ijumaa siku ya show ya wanaume family pale litingi.

No comments:

Post a Comment