Monday, March 7, 2011

tufanye nini ili tuwasaidie hawa

licha ya serikali kusema elimu bure na kuhimiza watoto wadogo wenye umri wa kuanzia miaka 6 mpaka saba kuanza darasa la kwanza lakini hali bado si shwari baadhi ya maeneo,nilikutana na kijana akiwa na sare za shule akiwa mitaani anaomba,

No comments:

Post a Comment