Thursday, July 8, 2010

KIDOGO JAYZ AMPOTEZE BEYONCE NCHINI UINGEREZA...

Habari zilizo tufikia kutoka  nchini uingereza kupitia gazette la the SUN zinasema kua mwana dada Beyonce ,alikoswa kugongwa na taxi nchini uingereza siku ya jana (juma tano)mara baada ya kufungua mlango ili aweze kutoka kwenye gari,ila kilicho msisimua ni kwamba alivyo fungua tuu , mlango alishangaa tuu mlango kuondoshwa na gari nyengine. tukio hili lilitokea wakati ndio wanataka washuke  kwenye gari aina ya mercedes benz yenye rangi ya silver ambao walikuwa wakisafiria yeye na mme we JAY-Z.
washkaji walikua wanaelekea  kufanya shopping then ndio waeleke kwenye dinner eneo liitwalo swanky London eatery, Zuma, in Knightsbridge..lakini mara baada ya tukio hili ni kwamba, Beyonce alishtuka sana na shopping haikuendelea wala nini..dah !!! mASKINI...!!! inamaana JAYZ angebaki bila bila ???  wheeeewwwwwwwww...!!! balaa..

No comments:

Post a Comment