Thursday, July 8, 2010

RECOVERY TAYARI IMETINGA PLATINUM

jama toka PANDE ZA Detroit nchini marekani almarufu kama EMINEM a.k.a Marshall mathers,tayari ameshafikisha mauzo ya PLATINUM manake mauzo ya cd zaidi ya millioni moja na laki moja (1,100,000)ya album yake mpya RECOVERY.album hii ilingia sokoni mda wa kama wiki mbili nyuma.lakini kitu ambacho kinawashangaza watu ni kwamba,hata kati ka soko gumu la siku hizi ambao mauzo ni YA ku hustle sana japo upate certified GOLD,(mauzo zaidi ya laki tano).jama ye anazidi kuchana mauzo ya platinum..kwa kumbu kumbu tuna kufahamisha ni kwamba eminem album zake zote zimegonga PLATINUM kasoro ile ya kwanza ya REAL SLIM SHADDY..
Na vile vile album yake mchiz ni kwamba inaongoza billboard top 200 albums kwa week ya pili mfululizo sasa..

No comments:

Post a Comment