Saturday, July 10, 2010

CHAMELEONE NDANI YA SAUZ NA MKE WE .ATATUMBWIZA J-PILI SAA MOJA KAMILI JIONI

msani huyo toka nchini uganda amesha tua sauz akiwa na mke we Daniella .amekutana  na wasani mbali mbali toka hapa barani afrika,kama 2face,samini na wengine toka bara la marekani kama shakira .wasani hawa ni miongoni mwa wale ambao wanatakiwa kutupia bongela show la kufunga kombe la dunia nchini humo.

KULIA NI CHALI AKIWA NA WIFE WAKE DANIELLA..


HAPA MWANA NA WAKALI WENGINE
TOKA NCHI MBALI MBALI NDANI NA NJE YA AFRIKA AMBAO PIA WAPO KWA AJILI YA KUTUMBWIZA NDANI YA SOCCER CITY.
MAMBO YA KUOMBANA KUPIGA PICHA NAYO YALI KWEMO ..HAPO MKE MTU AKIPIGA PICHA NA SHAKIRA NA VILE VILE MME MTU NAYE AKIZUGA
LAKINI MPANGO WAKE PIA TULI UJUA . NAOMBA
 TUPIGE PICHA YA KUMBUKUMBU..

KUMBE MASTAR NAO WANA SWAGGA HIZO ZA KUTAKA WAPIGE PICHA NA MTU ALIE JUU YAKE
HEHEHEHEHEHEHEHE...!!!

No comments:

Post a Comment