Tuesday, July 27, 2010

NYOTA WA MUZIKI MWENYE ASILI NA CHIMBUKO YA NCHINI HAITI AMETANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAISI

wycleff jean anae ishi nchini marekani kwa sasa ,ametangaza nia ya kugombea cheo cha uraisi..nchini haiti..kwa saivi ni balozi wa Haiti nchini marekani lakini nia yake anasema ilianza mwaka 2007 wakati alivyo teuliwa kuwa balozi wa nchi Haiti...Japokuwa raisi aliopo madarakani kwa sasa Rene Preval hana nia ya kugombea tena,Wycleff kasema ye binafsi ataendelea kutoa misada kwa watu wake wa Haiti na kuwa karibu nao katika kipindi hichi kigumu walicho nacho kwa sasa....




No comments:

Post a Comment