Tuesday, July 13, 2010

HATIMAE PINGU ZA MAISHA ZAFUNGWA KATI KA MARTIN LAWRENCE NA MPENZI WKE WA MDA MREFU..

Jama alie jijengea umaruufu kwa kuigiza kama komedian hatimae ameamua amuoe mpenze wake wa mda mrefu..tukio hili limefanyika kisiri kama ilivyo siku zote kwa watu maarufu nchini marekani..ka sherehe haka kalikuwa ka waatu maaluum tu.

jama alifahamika sana kwa movie Zake alio i cheza na chizi mwenzake will smith. (BIG MOMMA'S HOUSE 1&2, BAD BOY 1 & 2) Lakini pia ana movie nyingine pia ambao ni nzuri sana, zikiwemo..THIN LINE BETWEEN LOVE AND HATE alio i cheza na mkongwe mwengine katika anga za filamu Angella Bessette,RASCOE JENKINS na nyingine kibao...

No comments:

Post a Comment