Monday, August 2, 2010

Tamasha la KWANZA LA watoto lafanyika bagamoyo agosti mos 2010


Tamasha la watoto la kwanza limeandaliwa na jama au mwite msani wa muziki wa asili bwana Vitalis Maembe..Maembe amefanyikisha tamasha hili bila msada wowote.kutoka nje au kwa serikali.espokua waalimu wanaofundisha vikundi mbali mbali vya sanaa kati ka vituo tofauti tofauti..

Tamasha hili la watoto limefanyika kwa mara ya kwanza siku ya jumapili ya tarehe mos mwezi wa nane mwaka huu wa 2010 ndani ya bagamoyo.

maonyesho yalifanyika katika ukumbi wa mwembeni ndani ya chuo cha sanaa.walio shiriki ni watoto kutoka vituo mbali mbali vinavyo toa elimu ya ziada kwa kusaidia kuongeza maarifa katika maisha ya watoto hawa .hayo yote yalifanyika ndani ya bagamoyo.

watoto hao walionyesha sanaa zao za kuimba na kucheza muziki wa utamaduni wa tanzania...

picha kutoka katika ka tamasha hilo                             muanzilishi wa tamasha la watoto (MAEMBE)





1 comment: