Monday, August 16, 2010

KIBA AUWA UVUMI WA KUWA ANA UHUSIANO WA KIMAPENZI NA MWANAE RAIS WA SUDAN


uvumi huo ulianza kwenye mitandao mbali mbali kati ka nchi tofauti za africa masheriki..inasemekana kuwa mwanzo ulikua kule nchini kenya KIBA alivyo enda kuburidisha raia wa nchi hiyo..mwana dada huyoalivyo skia KIBA yupo pande hizo aka amua kumtimbia huko huko Nairobi...lakini KIBA ameweka wazi kua yule mwana dada sie mtu wake espokuwa ni marafiki na kipenzi chake.KIBA alikiri kweli alikuja Nairobi lakini kwa lengo la kuonane na rafiki yake ambae ni kipenzi changu..hAya yote KIBA aliasema akizungumza na chombo kimoja cha habari jijini Nairobi juzi kati.

No comments:

Post a Comment