Wednesday, August 18, 2010

WYCLEF JEAN AMEJIFICHA BAADA KUPOKEA UJUMBE WA KUTISHIA MAISHA YAKE.

Mwana muziki wyclef jean tokea nchini Haiti ameingia chimbo isiojulikana pamoja na familia yake maara baada kupoke ujumbe unao mtishia maisha. inasemekana kua kuna watu walimtumia Wyclef ujumbe unao mwambia ahame faster kisiwa hicha cha Haiti kabla hawaja mfanyia kitu kibaya. kuna watu walisema kuwa haiwezekani mwana muziki huyo kuwania urais kwa kuwa haja kaa nchini humo kwa mda wa takribani miaka 5 mfululizo,lakini kwa upande wa msemaji wa Wyclef,amesema kuwa jama  ni mmiliki wa kituo cha television nchini Haiti na alikua analipa kodi zake za vizuri na alikuwa akirudi mara kwa mara nyumbnani.so hadi hapo ana haki zote za kuwania ubunge..
Hiyo ime onyesha waazi kuwa kuna watu ambao hawaja furahia nia ya mwana muziki huyo kugombea urais nchini humo. hadi sasa kuna wagombea zaidi ya 30 ambao wametangaza nia ya kuwania urais..miongoni mwa hawa yupo mjomba yake Wyclef.
lakini kwa sasa hadi atakavyo toka chimbo, hakijaeleweka kama ataendela na nia yake ya kuwania ubunge maara baada kupokea vitishio hivyo..

1 comment: