Monday, August 16, 2010

PROMOTER SADAT AMTOSA RAYC NA KWA SASA ANATAKA KUMPA DEALI K-LYNN

Promoter(Sadat Muhindi) alie mpa Ray c deal ya ku promote kinywaji kipya kiitwacho DASH ENERGY DRINK ndani ya nchi kenya.shavu la promo amelitupa kwa mwana dada mwengine K-LYNN..haya yote ni baada kuto elewana yeye na Ray-C .upande wa Ray-c anasema jama alimtaka ki mapenzi ,ndio maana hakukua na maelewano.lakini pia jama promoter Sadat,naye ana story yake tofauti..so inasemekana yeye (Sadat)na K-LYNN wapo kwenye mazungumzo ...deali la kupromote kinywaji hiki, lina mpunga wa kiasi cha million za kenya mbili nukta tano(2.5 million kshs)

No comments:

Post a Comment