Monday, June 21, 2010

RIP: Former NBA Star Manute Bol Dies

MCHEZA kikapu miaka ya nyuma kwenye ligi kuu ya nchini marekani NBA..Manute Boi toka nchini sudan amefariki dunia.kumbuka kwamba ali set rekodi ya kuwa mchezaji mwenye urefu zaidi ya wote ambao wamesha wahi kucheza ndani ya NBA.mungu ailaze mahala pema peponi. ameen.

English version of the story..!!!!!!!!!....

Manute Bol -- best known for being one of the tallest players to ever play in the NBA -- died today, according to various reports.

Bol was hospitalized in Virgina back in May after suffering acute kidney failure.

Bol played in the NBA from 1985-1994 and was one of the best shot blockers in the league. Bol was extremely involved in charities in his native Sudan -- donating an estimated $3.5 million aid Sudanese refugees.

He was 47.

No comments:

Post a Comment