Friday, June 18, 2010

KIM KARDASIAN NA JUSTIN BIEBER PWANI....


Alie kuwa mke wa mcheza mpiira(american football) nchini marekani na mwana mitindo..Kim kardashian. juzi kati, kamua kula good time na dogo anaye kimbiza ilimwengu kwa sasa .bwana mdogo toka nchini canada Justin Bieber ndio kala shavu la kutoka naye mwana mitindo huyo kwenda kula good time pwani moja huko nchini marekani..lakini Kim jamani..!!! haka ka jama mbona bado kadogo sana....na kuogelea huko ..si balaa!!!!!!

No comments:

Post a Comment