Monday, June 21, 2010

POLITICIANS ARE GRABBING THERE FORMS FOR PRESIDENCY LEO HAPA ZNZ

Jumla wa wagombea sita akiwemo Makamu wa Rais, Dk Ali Mohammed Shein wanatarajiwa kuchukua fomu za kuwania urais wa Zanzibar keshokutwa kupitisha Chama Cha Mapinduzi (CCM).Kwa mujibu wa taarifa ya Idara ya Uenezi na Itikadi ya CCM Zanzibar iliyosambazwa kwa vyombo vya habari mjini hapa imesema kwamba wagombea hao watachukuwa fomu keshokutwa katika nyakati tofauti.

Ratiba inaonyesha kwamba Dk She [ … ]

No comments:

Post a Comment