Monday, June 21, 2010

KUPITIA UMARUFU WAKE CHALI ALMASI AMETINGA DODOMA BUNGENI

Katika hali isiyo ya kawaida leo katika matangazo madogo madoga kutoka kwa spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzaninia Mh. Samweli Sita akitangaza wageni waliotembelea Bungeni hapo leo mjini dodoma ambapo Diamond alipata kutangazwa kama mmoja kti ya wageni waliofika bungeni hapo na kufagiliwa sana na spika huku akiambiwa asimame kwa muda mrefu.

Diamond ambae ni msanii wa bongo flava (muzi [ … ]

No comments:

Post a Comment