Tuesday, June 22, 2010

RAIS WA JAMHUURI YA MUUNGANO WA TANZANIA..JK AJA NA SWAGGA MPYA KWA UCHAGUZI 2010..

RAIS Jakaya Kikwete jana alianza rasmi mbio za kutetea nafasi yake ya urais huku akiboresha kaulimbiu yake ambayo sasa inakuwa Ari Zaidi, Nguvu Zaidi na Kasi Zaidi tofauti na mwaka 2005 ambapo aliongozwa na kaulimbiu ya Kasi Mpya, Nguvu Mpya na Ari Mpya.

Akihutubia mamia ya wakazi wa mji wa Dodoma muda mfupi baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya CCM kugombea urais, Rais Kikwete alisema 

No comments:

Post a Comment