Friday, April 1, 2011

HAWA NI MAPACHA?

DJ MCHOX a.k.a TANZANIA                              

 
   WATANGA a.k.a MEED The East..
 
Ni vijana machachari ambao wamezaliwa katila familia mbili
 tofauti ila si dhambi ukiwaita mapacha kwani japo hawafanani
kisura na umbo kama pacha wengi wanavyoonekana ila wanafa
nana kifikra,mawazo, utashi,misimamo,mipango,na misingi miku
bwa yakimaendeleo kama ndoto zao za kua MAMILIONEA katika
kipindi cha miaka michache ijayo.MUNGU AWABARIKI VIJANA
 HAWA''AAMIN''

No comments:

Post a Comment