Tuesday, August 16, 2011

MAMBO VP WADAU WA WAKALI MTWARA?

Duh jamani ni siku mingi sana hatujafanya mambo lakini ni kutokana na majukumu yametubana sana,ila tunashukuru mungu kwakuwa wazima wa afya na mambo yanaenda,mchox tanzania kwa sasa nimehamia dar kikazi tu ndy mana hatuonani na hata kipindi changu anafanya mtu mwingine,
niko kigamboni naishi na wadau hapa nashukuru wamenipokea na mambo yanaenda sawa,

No comments:

Post a Comment