Friday, February 25, 2011

MDADA ''SHAA'' ALIE TUPIA SHOGA..KUIBUKA NA KIDEO KIINGINE...

Msanii anayetikisa kunako Bongo Flava Sarah Kaisi anyejulikana kwa jina la kisanii kama Shaa, Amemaliza kufanya video yake mpya ambayo hakutaja inakwenda kwa jina gani lakini alisema kwamba imefanywa na kusimamiwa na Adam wa Visual LAB. Shaa ameongeza kwamba video itakua hewani baada ya wiki chache na amewataka mashabiki wake kukaa tayari kwa video yake hiyo

No comments:

Post a Comment