wakali wa midmorning na grooving
mj,mkali bala
huyooooooo
hapa vipi jamani iko poa
mara 1 kwa mwaka si mbaya jamani,hapa siachi kituuuu!!!!!!!
Mpe nyonyoooooooo mwanao blazaa
Monday, May 16, 2011
MZUKA WA MAKONDE BEACH CLUB
asikuambie mtu,sisi week end ina anza alhamisi kwa usiku wa taarabu pale makonde beach,ijumaa kama kawa fresh friday na kazi ipo j moss yani ni hatari sanaaaaaaaaaaaaaa
MAMBOZ WADAU WETU?
nianze kwa kuwapa pole,jamani nilibanwa na majukumu ya kiofisi na family pia,
ila tuku pamoja sana
ila tuku pamoja sana
Friday, April 22, 2011
23 HIYOOOOO KAZI KWETU WAKAZI WA KUSINI.
tulihesabu mwezi,tukahesabu wiki ,siku na sasa tunahesabu masaa,
nani kutwaa taji la miss mtwara mjini kwa mara ya kwanza mtwara tanzania,
tiketi hizoooo zimebaki chache sana tuwahi wanawaneeeeeeeeeeeeeeeeeee,
hawa ni washiriki wa miss mtwara mjini,majaji kazi kwenu.
hayaaa,1,2,3,?????????????????
wakiwa katika mazoezi ya mwisho kabisa
utachagua mwenyewe wapi patakufaa mana kila sehemu pazuri
huu ndiyo mjengo wa makonde beach club
wale wa V.I.P nafasi zao ni hizi hapa
hapa ni viti vya kawaida tsh 10000/= kwa 15000/= getini
tuko beach kabisa jamani,hapa tuko ndani, yani uso kwa uso na bahari ya hindi
kwa wale ambao hawajawahi kabisa kufika makonde beach club aisee,sihitaji kusema sana ila we mwenyewe fika ijumaa uone maajabu ya tanzania,
SAFARI RADIO BURUDANI NDIPO ILIPOZALIWA
nani kutwaa taji la miss mtwara mjini kwa mara ya kwanza mtwara tanzania,
tiketi hizoooo zimebaki chache sana tuwahi wanawaneeeeeeeeeeeeeeeeeee,
hawa ni washiriki wa miss mtwara mjini,majaji kazi kwenu.
hayaaa,1,2,3,?????????????????
wakiwa katika mazoezi ya mwisho kabisa
utachagua mwenyewe wapi patakufaa mana kila sehemu pazuri
huu ndiyo mjengo wa makonde beach club
wale wa V.I.P nafasi zao ni hizi hapa
hapa ni viti vya kawaida tsh 10000/= kwa 15000/= getini
tuko beach kabisa jamani,hapa tuko ndani, yani uso kwa uso na bahari ya hindi
upepo wote wa bahari wetu
kwa wale ambao hawajawahi kabisa kufika makonde beach club aisee,sihitaji kusema sana ila we mwenyewe fika ijumaa uone maajabu ya tanzania,
SAFARI RADIO BURUDANI NDIPO ILIPOZALIWA
Tuesday, April 19, 2011
WAJANJA WOTE WA MJINI HAPA NDIPO TUNAKUTANA KUPIGA MENU
kwanza mandhari inavutia ile mbaya,pasafi sana na menu ni ya uhakika kisawasawa,na kinachonifurahisha sana utamkuta mkurugenzi anamenya viazi kusaidia huduma ziende haraka haraka.
NI NUSRA CATERING,pale maeneo ya saut utapata mapochopocho ya mjini hasaa,ila wanapokea order za chakula km una sherehe au seminar wapigie kwa namba 0713466489 utapata unachokusudia.
kazi ni kazi tu hakuna kuremba,mkurugenzi wa nusra akiwa mzigoni,pembeni na maji ya makonde
hapa ndipo misosi ya ukweli inapopatikana
KARIBU NUSRA CATERING KWA HUDUMA BORA ZAIDI
NI NUSRA CATERING,pale maeneo ya saut utapata mapochopocho ya mjini hasaa,ila wanapokea order za chakula km una sherehe au seminar wapigie kwa namba 0713466489 utapata unachokusudia.
kazi ni kazi tu hakuna kuremba,mkurugenzi wa nusra akiwa mzigoni,pembeni na maji ya makonde
hapa ndipo misosi ya ukweli inapopatikana
KARIBU NUSRA CATERING KWA HUDUMA BORA ZAIDI
KUELEKEA SHANGWE ZA PASAKA MZIGO UNAPIGWA IJUMAA KUU.
kwa kuhakikisha burudani iko sawa mtwara tutasherehekea ijumaa kuu kwa bonge moja la disco ndani ya litingi,kingilio ni tsh 3000/= usafiri bureeeeeee,
DJ STREET WISE KWA MTAMBO,
wacha weeeeeeeeeeeeeee
DJ STREET WISE KWA MTAMBO,
wacha weeeeeeeeeeeeeee
Thursday, April 14, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)
























