Thursday, July 29, 2010

CHAMELEONE AMPA KICHAPO MDOGO WAKE MAURICE KIRYA" VAMPINO "......

Watu wengi wamezungumza..juu ya kitendo cha mwanamuziki jose chameleone kumpiga msani mwenzake tokea nchini uganda aitwae VAMPINO .hayo yote yalifanyika siku ya j5 nje ya club silk ...kiwanja maarufu nchini humo cha muziki.inasemekana kuwa chanzo ni kwaNINI Vampino hamkubali jama..kwa hiyo ye chameleone anaona  kama jama anamdharau.wengi wanasema kuwa huyu jama (chameleone) tabia yake sio nzuri..tangu apate fursa ya kuonyesha sanaa yake kwenye jukwa wa la kombe la dunia..
Vampino alilazwa hospitali kansanga na watu wake wamefungua kesi dhidhi ya jose chameleone katika kituo cha police  jinja road...

badhi ya watu tokea nchini humo wamesema haya kupitia mtandao wa urafiki facebook..

kaka yake Vampino bwana Maurice kirya ambae pia ni msani kasema haya

"

I was blind but now i see, with blows to his face, he wondered why he
was attacked,and the answer was,because he did not worship the Dr.
Joseph chameleon! i hope my brother vamposs recovers from the injuries
and dis figured face, i love his music, but chameleon has attacked many,
and is protected by all of us. We have ..."


mtu mwengine ambae ni mtangazaji wa kituo cha redio hot 100 jijini kamapala kaesema haya
bwana 
"

Banange Chameleon...wateva they say u did to My boy Vampos was such a cheap shot. I love yo music bt smthangz take the love away."

Tuesday, July 27, 2010

MAPENZI NDANI YA BIG BROTHER TAYARI

Kulikuwa na habari kuwa Sheila kutoka nchini Kenya na Hanningtone kutoka uganda walikuwa na kiji issue flani cha mapenzi kilicho kuwa kinaendelea..Kwa kuweka mambo sawa Sheila alikata kabisa swagga hizi za kuwa ana feel lolote kwa chali huyo kutoka uganda na hapo baadae aliskika jama Hanningtone akiwa anamlalamikia kwanini alimvunja moyo...duh ! hii kali..na kwa habari nyingine ,siku ya jana (j3)Tatiana alitolewa (kwa maana ya kwamba she was voted out like eviction) kwenye jumba la B.B.A...lakini..akarudishwa tena..

NYOTA WA MUZIKI MWENYE ASILI NA CHIMBUKO YA NCHINI HAITI AMETANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAISI

wycleff jean anae ishi nchini marekani kwa sasa ,ametangaza nia ya kugombea cheo cha uraisi..nchini haiti..kwa saivi ni balozi wa Haiti nchini marekani lakini nia yake anasema ilianza mwaka 2007 wakati alivyo teuliwa kuwa balozi wa nchi Haiti...Japokuwa raisi aliopo madarakani kwa sasa Rene Preval hana nia ya kugombea tena,Wycleff kasema ye binafsi ataendelea kutoa misada kwa watu wake wa Haiti na kuwa karibu nao katika kipindi hichi kigumu walicho nacho kwa sasa....




LAURYN HILL NDANI YA AFRIKA MASHARIKI

Msani wa kitambo alie tikisa sana ulimwengu wa mziki miaka ya tisini..Lauryn Hill alikua nchini Rwanda siku ya juma pili ambapo alitupi bongela show Katika tamasha la FESPAD..kama ilivyo kawaida walikwepo wakali wengine kama jose chameleone toka nchini uganda na pili pili toka nchini Kenya NA WENGINEO KIBAO..

Kilicho shangaza zaidi ni kwamba ame achia ngoma yake mpya(REPERCUSSIONS) nchini humo (KIGALI)hata kabla ya kuiachia marekani anapotokea mwana dada huyo..na pia miss Hill ata tupi performance kwenye tamasha lingine nchini marekani linalojulikana kama ROCK BELLS

Sunday, July 25, 2010

HII KALI..TUNAFAHAMISHWA KUWA JIGGA ANASAFIRI NA TOILET PAPER YAKE SPECIAL KILA SEHEMU AENDA KO

Mwana muziki toka kasabia Tom Meighan, ameeleza  kwanini hajahisi kama ye ni maarufu,miongoni ni kuwa ,hajapata toilet paper zake na choo kama jayz.jama vile vile anasema akibahatika kuwa na hivyo vitu hapo basi naye atajijua kama ni nyota na ni maarufu..


 .inasemekana kuwa Hov kila anapo safiri ku perform kwenye festival mbali mbali uwa ana burungutu la toilet paper na private toilet. HOV anasema kwenye mistari ya kinyamwezi kuwa ana shida 99..ila kumwabukiza wadudu wako sio moja ya shida hizo...


"

"I Got 99 Problems & Your Germs Aint One: Jay-Z Takes Private Toilet With Him Everywhere"

fiesta ipo home kwetu zanzibar....

MWENZETTU LUIS KOLUMBIA AKIUZURIA MKUTANO WA WAGOMBEA